Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliyeshika
kikapu cha sadaka akipokea sadaka toka kwa waumini mbalimbali waliohudhuria ibada kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa kanisa Katoliki la Bikira MariaParokia ya Chato Mkoani Geita Leo Julai 16, 2017
Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliyeshika
kikapu cha sadaka akipokea sadaka toka kwa Mke wake Mama Janeth Magufuli wakati
wa kuchangia ujenzi na upanuzi wa katika kanisa la Katoliki la Bikira MariaParokia ya Chato Mkoani Geita leo Julai16, 2017
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Joseph Magufuli akimshukuru mmoja wa waumini wa kanisa hilo ndugu Mwita
Chacha kwa kuchangia mifuko mitano ya saruji kwaaajili ya ujenzi na
upanuzi wa kanisa Katoliki la Bikira MariaParokia ya Chato Mkoani Geita
Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwashukuru
waumini walioshiki kuchangia ya ujenzi na upanuzi wa kanisa Katoliki la
Bikira MariaParokia ya Chato
Mkoani Geita,ambapo zilikusanywa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni kumi na
tatu pamoja na ahadi mbalimbali za vikiwemo vifaa vya ujenzi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...