Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na mkewe Mama Mary Majaliwa wakipata makaribisho Nchini Cuba jana Agosti 17, 2017 kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba Bibi Ana Teresa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Havana kwa ziara ya kikazi nchini humo.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akiwa na mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa CUBA Bibi Ana Teresa mara baada ya kuwasili jana Agosti 17, 2017 katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Havana kwa ajili ya ziara ya kikazi Nchini Cuba. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...