Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na mkewe Mama Mary Majaliwa wakipata makaribisho Nchini Cuba jana Agosti 17, 2017 kutoka kwa Naibu  Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba Bibi Ana Teresa mara baada ya kuwasili  katika Uwanja wa  Ndege wa  kimataifa wa Havana   kwa  ziara ya kikazi nchini humo.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim  Majaliwa  akiwa na mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa CUBA Bibi Ana Teresa mara baada ya kuwasili jana  Agosti 17, 2017 katika Uwanja wa  Ndege wa kimataifa wa Havana   kwa ajili ya ziara ya kikazi Nchini Cuba. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...