Mwanamuziki John Kitime akizungumza na Michuzi TV jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na Tamasha la Muziki wa Zamani yaani muziki wa Miaka ya 1960 na 1970 na 1980. Tamasha hilo litkalofanyika katika ukumbi wa Burudani wa Salenda Klabu jijini Dar es Salaam Kesho Ijumaa ya Septemba 22, 2017.

Amesema kuwa Burudani ya Kutosha itatolewa kuanzia saa moja jioni kwa kiingilio cha shilingi 10,000/= na itakuwa kila Ijumaa ya kila wiki.
Pia amewakaribisha Vijana wazamani pamoja kwenda katika eneo husika ili kujikumbusha muziki na burudani za zamani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...