Baadhi ya vijana wajasiliamali katika Manispaa ya kigoma Ujiji mkoani Kigoma, wakimsikiliza mwenzao akinyambulisha dhana ya uwezweshwaji wa vijana kiuchumi kwenye warsha ya kuibua changamoto ya ajira kwa vijana iliyoandaliwa na Akimizi ya kuendeleza wajasiliamali (DTBI) chini ya Tume yaTaifa ya Sayansi uliofanyika leo katika ukumbi wa Redcross uliopo kigoma ujiji.(Picha na Magreth Magosso kigoma).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...