Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi ambaye ni Kiongozi wa Timu ya Tanzania katika majadiliano kati ya Serikali na Kampuni ya Barrick kuhusu biashara ya madini ya Dhahabu nchini, atoa ufafanuzi zaidi kuhusu yale yaliyofikiwa baada ya kuwepo sintofahamu kwa baadhi ya watu kuhusu muafaka wa ripoti iliyotolewa jana tarehe 19 Oct 2017, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...