Wachezaji wa timu ya Simba wakishangia ushindi wao walioupata dhidi ya Timu ya Njombe Mji, katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara, uliochezwa jioni ya leo kwenye uwanja wa Uhuru, jijini Dar es salaam. Simba imetoka na ushindi wa bao 4-0 wafungaji wakiwa ni Emmanuel Okwi, Mzamiru Yassin (magoli mawili) na kumalizia na Laudit Mavugo.
Picha zote na Othman Michuzi.
Picha zote na Othman Michuzi.
Beki wa Timu ya Njombe Mji, Laban Kambole akiruka kupiga mpira kwa kichwa huku mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akiuzengea.
Beki wa Simba, Juuko Murshad akimpiga chenga mshambuliaji wa timu ya Njombe Mji.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...