Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Salvatory Mabeyo akimuelekeza kitu mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme ambaye ameshika punje za mahindi kiganjani kwake, alipotembelea kiwanda cha kisasa cha kuchakata mahindi cha kikosi cha JKT Mlale Songea Mkoani Ruvuma. “ Tunakikosi cha JKT Mbalali kilichopo Mbeya kinalima zao la kahawa na niwazalishaji wazuri wa zao hilo napotutajenga kiwanda cha kuchakata kahawa ili tuwe na Kahawa Product ya JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA ,Tunasambaza viwanda hivi kwa faida ya wananchi wa Tanzania, kwa maendeleo yao ,kwa maendeleo yetu wote, tunaimani tumeanza kuthubutu,tunaimani tutaweza ”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...